Aliyewahi
kuwa Mbunge wa Kigoma Kusini mwaka 2010-2015 David Kafulila amejivua
uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Taarifa
ya Kafulila kuondoka CHADEMA imetolewa leo kwa vyombo vya habari, na
kueleza kwamba hana imani tena na vyama vya upinzani katika kupambana na
ufisadi.
David Kafulila anafahamika zaidi kwa kuibua mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa kwa kuibua bungeni suala la Escrow.








No comments:
Post a Comment